Friday, December 19, 2014

TUNAWEZAJE KUOKOLEWA NA UHARIBIFU ULIOKO DUNIANI

Tena kwa hayo ametukirimia ahadi kubwa mno, za thamani, ili kwamba kwa hizo mpate kuwa washirika wa tabia ya Uungu, mkiokolewa na uharibifu uliomo duniani kwa sababu ya tamaa. 2 Pet 1:4

1.Tumekirimiwa ahadi kubwa mno za thamani
2.tupate tabia ya Uungu
tabia hiyo itatuwezesha kuokolewa na uharibifu huo

No comments:

Post a Comment