Thursday, July 19, 2012

UJUMBE MKUTANO WA SALA WA VIJANA 01-07-2012

NAMNA/MBINU MBALIMBALI ZA KULIFANYIA KAZI NENO LA MUNGU
1.Kusoma Neno
2.Kutafakari Neno
3.Kusali Neno mfano kupitia Zaburi mbalimbali
4.Kujifunza Neno mfano kujifunza kuhusu Roho Mtakatifu,utoaji,baraka nk unapitia vifungu vinavyosema juu ya hayo unayotaka kujifunza
5.Kukariri Neno
6.Kutenda Neno
7.Kushirikisha Neno

Ni vizuri kutenga muda wa kutosha  kila siku,kwa wiki ,mwezi ili kutumia mbinu hizo.Tukifanya hayo kwa msaada wa  Roho Mtakatifu Mungu atabadilisha maisha yetu kwa Utukufu wake nasi tutafurahia maisha,tutaweza kumjua Mungu,kumpenda,kumtumikia na mwisho kufika kwake Mbinguni kama  yalivyokuwa makusudi yake Mungu ya kutuweka duniani.


No comments:

Post a Comment