Baadhi ya mambo ya kuombea mwezi huu
VIJANA
-Vijana tupate maono kutoka kwa Mungu kupitia Roho wake Mtakatifu (Mdo 2:14-18 )
-Maono yote Mungu aliyokwishatupa yakapate kutimia kwa wakati
wake,Mungu afanye njia sawa sawa na Zab 33:10-11 (yataje hapa maono
hayo)
-Nguvu ya Ujana itumike kumtukuza Mungu (1 Yoh 2:13-14)
KANISA
-Roho ya Hekima na Ufunuo katika kumjua Mungu (Ephe 1:17)
-Kumpenda Mungu na kumheshimu Mungu kweli kweli
-Kanisa tufahamu mamlaka na nguvu alizotupa Kristo na kutenda kazi yake kwa ujasiri (Efe 1:18-23)
-Watendakazi katika shamba la Bwana waongezeke: Mungu aachilie karama na fadhila zake kwa wingi zaidi na zaidi
TAIFA
Roho ya Hekima kwa viongozi
Moyo wa upendo viongozi
Umoja,upendo na amani kwa watu wote
ISRAEL
-Favour na Kibali cha Mungu viendelee kuwa pamoja nao
-Zab 33:10-11
WATU WOTE
-Paji la Imani kwa Yesu Kristo kwa watu wote
-Tufahamu ukweli na ukweli utuweke huru kweli kweli Yoh 8:32
-Neema ya wokovu
-Maono yote Mungu aliyokwishatupa yakapate kutimia kwa wakati
wake,Mungu afanye njia sawa sawa na Zab 33:10-11 (yataje hapa maono
hayo)
No comments:
Post a Comment