Friday, June 8, 2012

MKUTANO WA SALA NYAKAHOJA

Alhamisi hii masomo yalikuwa

Zaburi (Psalms) 103:1-22
Kutoka (Exodus) 23:27
Yeremiah Jer 30:16

Mungu ametukumbusha upendo wake usivyo na mipaka katika zab 103

Pia ametukumbusha kumwomba daima ulinzi kupitia Neno lake. na si ulinzi tu bali kila tuombayo tuombe sawa sawa na Neno lake linavyotuahidi.

No comments:

Post a Comment